Print this page

Mbunge ajitosa ujenzi wa bweni

GEITA

Na Mwandishi wetu

Mbunge wa Jimbo la Busanda Tumaini Magesa ameahidi mwezi mmoja na nusu kukamilisha ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Lutozo iliyopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro mkoani Geita.
Ameyasema hayo aliposhiriki kuchimba msingi wa bweni hilo ambalo linatakiwa kutumika katika msimu mpya wa masoma ya Kidato cha Tano mwaka huu.

Rate this item
(0 votes)
Japhet