Print this page

Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozari – Bombambili

By September 18, 2023 304 0

Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Mama wa Rozari – Bombambili, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Sheejan Kallarakkal MSFS (mwenye kanzu nyeupe), akiwa katika picha ya pamoja na Wazee na Wastaafu, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Shukrani kwa Mungu kwa Wazee na Wastaafu wa Dekania ya Pugu, iliyoadhimishwa katika Parokia ya Bombambili. (Picha na Mathayo Kijazi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet