Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Dominiko – Mbezi Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Daniel Kilala, akiwabariki Viongozi wapya wa Zaka, baada ya kuwaapisha wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika, iliyoadhimishwa parokiani hapo.
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Dominiko – Mbezi Juu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Daniel Kilala, akiwabariki Viongozi wapya wa Zaka, baada ya kuwaapisha wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika, iliyoadhimishwa parokiani hapo.