Print this page

UWAKA Parokia ya Mtakatifu Bonaventura, Kinyerezi

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Bonaventura, Kinyerezi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Francis Hiza (katikati waliokaa), Paroko Msaidizi wa Parokia hiyo, Padri Benson Mapunda (kushoto kwa Paroko), na Didas Ndyemela, Mwenyekiti wa UWAKA Parokia hiyo (kulia kwa Paroko), wakiwa katika picha ya pamoja na Wanaume Wakatoliki (UWAKA) Parokia ya Kinyerezi baada ya hafla fupi ya UWAKA DAY, iliyofanyika Jumatatu ya Pasaka parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet