Print this page

Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kilongawima

Mlezi wa Seminari Kuu ya Segerea, Padri Siegfried Rusimbya Ntare, akibariki matoleo ya waamini wakati wa adhimisho la Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu iliyoadhimishwa katika Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kilongawima, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. Kushoto ni Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Thomas More, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Romwald Mukandala.

Rate this item
(0 votes)
Japhet