Print this page

Nape Nnauye, akimpongeza Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, akimpongeza Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo, kwa kuadhimisha Jubilei ya Miaka 25 ya Ukardinali wake, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu.

Rate this item
(0 votes)
Japhet