Print this page

Awasihi kumuiga Bi. Augustino

KASESE, Uganda
Askofu wa Jimbo Katoliki la Kasese, Mhashamu Francis Aquirinus Kibira Kambale amewataka  Wakristo kuiga mfano wa marehemu Bi. Augustino Muhindo, “anayejulikana kama Kithabutsunde” aliyemtaja kama nguzo ya ukuhani, elimu, na mabadiliko ya kijamii na kiuchumi katika wilaya ya Kasese.
Askofu Kambale alisema hayo wakati wa Misa Takatifu ya kumbukizi ya miaka 10 ya Marehemu Bi. Muhindo aliyemtaja kuwa ni watu wa kwanza wa Mukonzo kutawazwa kuwa Kasisi katika Kanisa Katoliki la Roma, Desemba 14, mwaka 1958.

Rate this item
(0 votes)
Japhet