Waamini wa Parokia ya Bikira Maria Consolata, Kigamboni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Sherehe ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Miaka 50 ya Parokia hiyo iliyoanzishwa mwaka 1973. (Picha zote na Yohana Kasosi)