Mapadri, Viongozi wa Serikali, Kamati Tendaji, ya Parokia, wakiwa katika picha ya pamoja na Waamini na wanakwaya wa Parokia ya Mtakatifu Maximilian Maria Kolbe, Mwenge, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Somo wa Parokia hiyo, ambapo mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Godwin Gondwe (katikati mwenye tai). Kushoto kwa Mkuu wa Wilaya ni Paroko Msaidizi wa Parokia hiyo, Padri Daniel Mapunda. Misa hiyo iliadhimishwa na Mkurugenzi wa Tumaini Media, Padri Joseph Massenge, ambaye pia ni Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Takatifu, Makongo Juu, jimboni humo. (Picha na Yohana Kasosi)
Adipisicing leggings enim laboris wayfarers, cliche Carles placeat typewriter mixtape cold-pressed.