Waamini na Masista kutoka Majimbo Katoliki mbalimbali nchini Tanzania, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Kuweka Nadhiri za Kwanza na za Daima, kwa Mafrateri wa Shirika la Bikira Maria wa Mlima Karmel, wawili ambao ni Frt. Felix Malimi na Frt. Gabriel Mtiti, wameweka Nadhiri za Kwanza, huku Frt. Dickson Sambala akiweka Nadhiri za Daima, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli, Bunju, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. (Picha na Yohana Kasosi).