MAFIA
Na Mwandishi wetu
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mafia, kwa kufanikiwa kuongeza vyanzo vya mapato na kupata hati safi.
Kunenge alisema hayo katika kikao cha kujadili hoja za CAG kilichofanyika wilayani Mafia, Mkoa wa Pwani.