Padri Peter Masaga akipokea zawadi kutoka kwa Viongozi wa Halmashauri ya Walei wa Parokia ya Mtakatifu Gaspar Del Bufalo, Mbezi Beach Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, iliyofanyika hivi karibuni parokiani hapo. (Picha na Yohana Kasosi)