Print this page

Afrika inavyopania kuchomoka kwenye mikono ya vita, vurugu

Wakili Tony Tshibanda Tondoyi wa Lubumbashi nchini DRC. Wakili Tony Tshibanda Tondoyi wa Lubumbashi nchini DRC.

Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu

Katika hali ya mateso na mahangaiko ya muda mrefu, kwa baadhi ya Mataifa ya Afrika, ambayo yalitumbukia kwenye mikono ya vita vya wenyewe kwa wenyewe, sasa mataifa mengi yameanza kutaka kujinasua kwenye mikono ya vita na vurugu za hapa na pale.
Kwa sasa dunia inashuhudia hali mbaya ya vita na mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, katika Mataifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Sudan Kusini na Sudan, bila kusahau huko Gaza ukanda wa Mashariki ya Kati.

Rate this item
(0 votes)
Japhet