Print this page

Askofu Ndorobo awahusia Waamini Uchaguzi Mkuu

Askofu wa Jimbo Katoliki la Mahenge, Mhashamu Agapiti Ndorobo akitoa homilia wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Miaka 75 ya Seminari ya Mtakatifu Francis – Kasita, jimboni humo. Askofu wa Jimbo Katoliki la Mahenge, Mhashamu Agapiti Ndorobo akitoa homilia wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Miaka 75 ya Seminari ya Mtakatifu Francis – Kasita, jimboni humo.

Mahenge

Na Mathayo Kijazi

Askofu wa Jimbo Katoliki la Mahenge, Mhashamu Agapiti Ndorobo, amesema kuwa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, ni vyema kuchagua kiongozi anayefaa na anayejali kila mmoja, bila kuangalia dini, rangi, kabila, wala utaifa wake.
Askofu Ndorobo aliyasema hayo hivi karibuni, wakati wa homilia yake katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Miaka 75, ya Seminari ya Mtakatifu Francis – Kasita, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet