Print this page

Dk. Jingu ataka Maafisa kujituma

By November 07, 2025 70 0

NJOMBE

Na Mwandishi wetu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dk. John Jingu, amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii mkoani Njombe, kutunza na kutumia kwa umakini pikipiki walizopewa na serikali, ili kuboresha utendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi.
Dk. Jingu alisema hayo wakati wa hafla ya makabidhiano ya pikipiki nane, kwa Maafisa Maendeleo ya Jamii wa ngazi ya Kata, mkoani humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet