Print this page

Sakramenti si ya kushibisha tumbo- Rai

By December 12, 2025 27 0
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akizindua Mnara wa kengele na Msalaba wa kanisa la Parokia ya Mwenyeheri Anuarite - Makuburi jimboni humo, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu. Kushoto ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Moses Omondi. (Picha na Yohana Kasosi) Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akizindua Mnara wa kengele na Msalaba wa kanisa la Parokia ya Mwenyeheri Anuarite - Makuburi jimboni humo, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu. Kushoto ni Paroko wa Parokia hiyo, Padri Moses Omondi. (Picha na Yohana Kasosi)

Dar es Salaam

Na Laura Mwakalunde

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, amewataka Waamini kutambua kwamba, Karamu ya Sakramenti Takatifu haikuja ili kushibisha tumbo.
Askofu Ruwa’ichi alisema hayo hivi karibuni, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya kuzindua Mnara wa Kanisa, iliyofanyika Parokia ya Mwenyeheri Anuarite-Makuburi, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet