Print this page

Mbio za Nyika kuitangaza Tanzania

DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu

Tanzania inatarajiwa kushinda medali ya dhahabu, katika Mashindano ya Dunia ya Mbio za Nyika, kutokana na maandalizi ambayo yamefanyika.
Wanariadha tisa waliokuwa kambi jijini Arusha, kwa dhamira moja ya wazi kwa kuinua bendera ya Taifa juu, wataiwakilisha Tanzania kwenye mashindano hayo, yanayotarajiwa kufanyika Tallahassee, Florida.

Rate this item
(0 votes)
Japhet