Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Michezo

DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Mchezo wa kikapu wa tatu kwa tatu, maarufu kama 3x3, ni aina ya michezo ya mpira wa kikapu inayochezwa…
MADRID, HispaniaBaada ya zaidi ya miaka 14 huko Atletico Madrid, kocha Diego Simeone ameanza kufikiria maisha mapya nje ya klabu hiyo, huku maswali kwa mashabiki,…
Nairobi, KenyaMshindi wa zamani wa Marathon ya New York Albert Korir, amepigwa marufuku kwa miaka mitano, baada ya kukubali kutumia dawa za kuongeza nguvu mwilini.
Dar es Salaam Na Nicolaus Kilowoko Wakati kukiwa na uchunguzi wa vitendo vya upangaji wa matokeo, katika mashindano mbalimbali ya soka Tanzania Bara, huko visiwani…
Newyork, MarekaniWaandaaji wa mashindano ya Milan-Cortina 2026, wanasema kuwa wanachunguza kwa nini medali za Olimpiki zinavunjika, baada ya wanariadha kadhaa kukumbwa na matatizo hayo.Washindi wawili…
London, UingerezaTottenham Hotspurs wako kwenye vita vya kushushwa daraja, anasema nahodha wa zamani wa Uingereza Wayne Rooney.Kichapo cha 2-0 kutoka kwa Manchester United, kiliongeza mwendo…
DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Licha ya timu nne za Ligi Kuu kuwa nyuma ya ratiba, kutokana na ushiriki wa michuano ya kimataifa, uongozi…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Siku chache baada ya kutolewa katika michuano ya kimataifa, timu ya soka ya Singida Black Stars, imesema kuwa hasira…
Pwani Na Mwandishi Wetu Kuelekea katika mbio za Boston Marathon, zitakazofanyika nchini Marekani mwezi Aprili mwaka huu, Mwanariadha Staff Sajenti Alphonce Simbu, amewaomba wadau wa…
LONDON, UingerezaTimu ya soka ya wanawake ya Jersey Bulls, imefanikiwa kuizaba Guildford Saints mabao 30-0, katika mechi ya Ligi ya Soka ya Wanawake ya Kaunti…
Page 1 of 18