Print this page

Simba SC yafukuzia nyota wanne

Steve Barker Steve Barker

DAR ES SALAAM

Na Nicolaus Kilowoko

Kocha Mkuu wa klabu ya soka ya Simba, raia wa Afrika Kusini Steven Barker, baada ya kuiongoza klabu hiyo kwenye michezo mitatu ya michuano ya Mapinduzi Cup 2026, ametoa maagizo kwa uongozi wa klabu hiyo, kusajili wachezaji wanne kwenye dirisha dogo la mwezi Januari.

Rate this item
(0 votes)
Japhet