Print this page

Bentancur wa Spurs kufanyiwa upasuaji

Rodrigo Bentancur Rodrigo Bentancur

London, Uingereza
Kiungo wa kati wa Tottenham, Rodrigo Bentancur, anahitaji upasuaji wa misuli ya paja, na anatarajiwa kukosa angalau miezi mitatu.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay, ambaye amekuwa mchezaji muhimu kwa timu ya Thomas Frank msimu huu, alipata jeraha hilo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Spurs dhidi ya Bournemouth wiki iliyopita.

Rate this item
(0 votes)
Japhet