Print this page

RIGO STAR Msanii mwenye vipaji lukuki aliyeishi Duniani kwa miaka 68

DAR ES SALAAM

Na Remigius Mmavele

Rigobert Bamundele Ifoli, maarufu kwa jina  Rigo Star, alizaliwa Agosti 28,1955 jijini Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).Rigo Star ni mpiga gita hodari aliyetikiza duniani kwa kupiga chombo hicho, alianza kuonyesha uwezo wake akiwa na umri mdogo ambapo alikuwa mmoja wa wapiga gitaa wenye ushawishi mkubwa nchini mwake.

Rate this item
(0 votes)
Japhet

Latest from Japhet