Print this page

Jubilei miaka 50 Padri Octvian Linuma

By August 11, 2023 1039 0

Padri Octvian Linuma wa Jimbo Katoliki la Mahenge (mwenye suti), akiwasili katika viwanja vya Shule ya St. Rosalia, Kinyerezi, jijini Dar es Salaam tayari kwa adhimisho la Misa Takatifu ya Shukrani ya Jubilei ya Miaka 50 ya Upadri wake.  Kushoto kwa Padri Linuma ni Mkurugenzi wa shule hiyo, Paulo Mfungahema.

Rate this item
(0 votes)
Japhet