Print this page

Masista Wanajubilei ya Miaka 25 ya Utawa

By February 09, 2024 541 0

Masista Wanajubilei ya Miaka 25 ya Utawa, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kupongezwa na Watawa wenzao wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Watawa iliyoadhimishwa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam hivi karibuni. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet