Print this page

Kipaimara Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli, Bunju

Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli, Bunju, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Dominick Somola ambaye pia ni Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Gaspar, (wa sita kulia), na Paroko Msaidizi wa Parokia hiyo, Padri Paul Mallewa (mwenye kanzu nyeupe), wakiwa katika picha ya pamoja na Wanakamati wa Zaka wa Parokia hiyo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Ekaristi Takatifu iliyoadhimishwa hivi karibuni parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet