Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akipokea akipokea sadaka kutoka kwa Waamini na Viongozi wa Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara, iliyofanyika Parokia ya Mtakatifu Clara –Magole Jimboni humo.