Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Ambosi –IPTL, Salasala, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Paul Sabuni akiwaapisha Viongozi wapya wa Parokia Teule ya Utatu Mtakatifu, Skanska -IPTL, baada ya kupandishwa hadhi Parokia hiyo.