Paroko mpya wa Parokia ya Bikira Maria Mama wa Mungu, Mbopo-Madale, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, (wa tatu kutoka kushoto), akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kamati Tendaji ya Parokia hiyo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Kumsimika Paroko huyo, iliyofanyika hivi karibuni parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)