Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Gaspar na Paroko wa Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli, Bunju, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Dominick Somola, akisalimiana na Waamini wa Chama cha Moyo Mtakatifu wa Yesu wa Parokia ya Bikira Maria wa Rozari Takatifu, Makongo Juu, baada ya kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu iliyofanyika katika Parokia ya Bunju, hivi karibuni.