Print this page

Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Thomas More

Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Thomas More, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Romwald Mukandala ambaye pia ni Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kilongawima, jimboni humo akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Kamati Tendaji na wa Vyama vya Kitume baada  ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Pasaka iliyoadhimishwa Parokiani hapo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet