Print this page

Parokia ya Mtakatifu Agostino Salasala

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Agostino Salasala, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Peter Assenga, akiwa katika picha ya pamoja na Watawa wa Kike, Viongozi wa Kamati Tendaji na Wakatekumeni baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Kesha la Pasaka, iliyofanyika parokiani hapo. (Picha zote na Yohana Kasosi)

Rate this item
(0 votes)
Japhet