Padri Andreas Chitanda Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Malkia-Luagala Jimbo Katoliki la Mtwara, akibariki kinanda kipya cha Kigango cha Kutukuka kwa Msalaba-Lyenje jimboni humo, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika iliyoadhimishwa hivi karibuni.