Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akibariki vipaji wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Mwaka Mpya 2026, katika Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma - Mbezi Beach, jimboni humo. (Picha na Mathayo Kijazi)