Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (aliyeshika Fimbo ya Kichungaji), Askofu Msaidizi wa Jimbo hilo, Mhashamu Henry Mchamungu (kushoto), Askofu wa Jimbo Katoliki la Bagamoyo Mhashamu Stephano Musomba (kulia) na Mapadri wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Shirika la Masista wa Mtakatifu Fransisko wa Asizi Dada Wadogo na Masista walioweka Nadhiri za Kwanza, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Nadhiri hizo.