Waamini kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Nadhiri za Kwanza za Masista wa Shirika la Mtakatifu Fransisko wa Asizi Dada Wadogo, iliyofanyika katika Makao Makuu ya Shirika hilo, Mbagala-Dar es Salaam.