Wanakwaya wa Kwaya ya Familia Takatifu Parokia ya Mtakatifu Maximillian Maria Korbe - Mwenge, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja na baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sikukuu ya Pasaka iliyofanyika parokiani hapo. (Na Mpigapicha wetu)