Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, akiwauliza maswali vijana wa Parokia ya Mtakatifu Dominiko Savio, Mikoroshoni, Jimboni humo kabla ya kuwapa Sakramenti Takatifu ya Kipaimara, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya kutoa Sakramenti hiyo. (Picha na Yohana Kasosi)