Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo (mwenye fimbo ya Kiaskofu), na Mapadri, wakiwa katika picha ya pamoja na vijana walioimarishwa katika Sakramenti Takatifu ya Kipaimara, iliyofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Michael Malaika Mkuu, Kawe, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. (Picha na Yohana Kasosi)