Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Dominiko Savio, Mikoroshoni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa wamemshika mbuzi kwa ajili ya zawadi kwa Askofu Mkuu wa Jimbo hilo Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara, iliyofanyika hivi karibuni Parokiani hapo. (Picha na Yohana Kasosi)