Frateri Gabriel Mtiti akiweka Nadhiri zake za Kwanza mbele ya Padri Dominic Somola, Mwakilishi wa Mkuu wa Shirika la Bikira Maria wa Mlima Karmeli nchini Tanzania, katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Kuweka Nadhiri za Kwanza na za Daima, kwa Mafrateri watatu wa Shirika hilo, iliyofanyika katika Parokia ya Bikira Maria wa Mlima Karmeli, Bunju, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. (Picha na Yohana Kasosi)