Print this page

Maaskofu wampongeza Rais Malawi

Rais wa MCCB, Askofu Martin Anwel Mtumbuka Rais wa MCCB, Askofu Martin Anwel Mtumbuka

Lilongwe, Malawi

Baraza la Maaskofu Katoliki Malawi (Malawi Conference of Catholic Bishops: MCCB) limempongeza Profesa Arthur Peter Mutharika kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa saba wa Jamhuri ya Malawi.
Katika taarifa iliyotiwa saini na Rais wa MCCB, Askofu Martin Anwel Mtumbuka alitoa pongezi za dhati kwa mkutano huo kwa Profesa Mutharika kwa ushindi wake katika uchaguzi mkuu uliofanyika hivi karibuni.

Rate this item
(0 votes)
Japhet