Print this page

Wakristo goigoi wawekwa mtegoni

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akimpatia Sakramenti Takatifu ya Kipaimara kwa mmoja wa vijana wa Parokia ya Bikira Maria wa Fatima-Msimbazi, jimboni humo, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti hiyo. (Picha na Laura Mwakalunde) Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akimpatia Sakramenti Takatifu ya Kipaimara kwa mmoja wa vijana wa Parokia ya Bikira Maria wa Fatima-Msimbazi, jimboni humo, wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti hiyo. (Picha na Laura Mwakalunde)

Dar es Salaam

Na Laura Mwakalunde

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, amewaonya Waamini kuacha kuwa Wakristo goigoi.
Aliyasema hayo hivi karibuni, wakati akitoa homilia yake katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara, iliyofanyika Parokia ya Bikira Maria wa Fatima-Msimbazi, jimboni humo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet