Print this page

Maveterani wa soka waahidi kukuza michezo

By November 07, 2025 24 0
Paul Ambrose Lusozi Paul Ambrose Lusozi

DAR ES SALAAM

Na Nicholausi Kilowoko

Timu ya Umoja wa Maveterani wa Soka Tanzania (UMSOTA), imeahidi kuendelea kushiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kuimarisha umoja na kukuza michezo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UMSOTA, Paul Ambrose Lusozi maarufu kama Father, huku akiishukuru serikali kwa kutambua mafanikio yao kimataifa.
Timu hiyo ilitwaa ubingwa wa mashindano ya soka ya Maveterani Afrika Mashariki, yaliyofanyika Oktoba mosi mwaka huu, huko nchini Kenya.

Rate this item
(0 votes)
Japhet