Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Maveterani wa soka waahidi kukuza michezo

Paul Ambrose Lusozi Paul Ambrose Lusozi

DAR ES SALAAM

Na Nicholausi Kilowoko

Timu ya Umoja wa Maveterani wa Soka Tanzania (UMSOTA), imeahidi kuendelea kushiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi, kwa lengo la kuimarisha umoja na kukuza michezo.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa UMSOTA, Paul Ambrose Lusozi maarufu kama Father, huku akiishukuru serikali kwa kutambua mafanikio yao kimataifa.
Timu hiyo ilitwaa ubingwa wa mashindano ya soka ya Maveterani Afrika Mashariki, yaliyofanyika Oktoba mosi mwaka huu, huko nchini Kenya.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.