Print this page

Kauli za Maaskofu kuhusu vurugu katika Uchaguzi Mkuu

By November 14, 2025 45 0
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Mhashamu Sana Isaac Amani Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Arusha, Mhashamu Sana Isaac Amani

Mbeya

Na Mwandishi wetu

Maaskofu wa Majimbo mbalimbali ya Kanisa Katoliki nchini, wameadhimisha Misa Takatifu za kuwaombea watu waliouawa na kujeruhiwa, katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29 mwaka huu, huku wakitoa kauli tofauti tofauti na kukemea, kuhusu hali ya uvunjifu wa amani iliyotokea wakati wa uchaguzi huo.

Rate this item
(0 votes)
Japhet