Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha
Japhet

Japhet

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akiadhimisha Misa Takatifu ya Shukrani ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwenye viwanja vya Seminari ya Mtakatifu Maria, Visiga-Kibaha jimboni humo. (Picha na Michael Ally)

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akiadhimisha Misa Takatifu ya Shukrani ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) kwenye viwanja vya Seminari ya Mtakatifu Maria, Visiga-Kibaha jimboni humo. (Picha na Michael Ally)

Askofu wa Jimbo Katoliki la Bunda, Mhashamu Simon Masondole, Mapadri, mgeni rasmi, Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo (kushoto kwa Askofu), wakiwa katika picha ya pamoja na WAWATA, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika ya 21 Mwaka B, sanjari na Harambee ya kuchangia ujenzi wa kanisa la Kigango cha Mtakatifu Theresia wa Mtoto Yesu – Kilimahewa Juu, Parokia ya Mtakatifu Agostino – Salasala, Jimbo Kuu la Dar es Salaam. (Picha na Mathayo Kijazi)

Viongozi wapya wa Dekania ya Mtakatifu Thomas More wakiweka kiapo mbele ya Dekano wa Dekania hiyo, Padri Romwald Mukandala wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Kizito, Kilongawima, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam. (Picha na Simon Peter)

Viongozi wa Utume wa Wanaume Katoliki (Uwaka), Parokia ya Mtakatifu Dominico, Mbezi Juu, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Uwaka Day, parokiani hapo hivi karibuni. (Picha na Yohana Kasosi)

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu na Mapadri wakiwa katika picha ya pamoja na Wasimamizi wa Waimarishwa wa Sakramenti ya Kipaimara, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu katika Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume Bahari Beach, jijini Dar es Salaam. (Picha na Yohana Kasosi)

Baadhi ya Vijana waimarishwa katika Parokia ya Watakatifu  Wote Kiluvya, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa kanisani wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kipaimara parokiani hapo. (Picha na Yohana Kasosi)

Paroko wa Parokia ya Watakatifu Wote Kiluvya Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Justus Rugaimukamu, akiwabariki waamini waliotoa Zaka wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Kipaimara parokiani hapo hivi karibuni. (Picha na Yohana Kasosi)

Baadhi ya Vijana walioimarishwa kwa Sakramenti Takatifu ya Kipaimara katika Parokia ya Mtakatifu Andrea Mtume, Bahari Beach, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu parokiani hapo. (Picha na Yohana Kasosi)

Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu (katikati) na Padri Danipaso Bitegeko, Paroko wa Parokia ya Watakatifu Wote Kiluvya (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Familia ya Mzee Tumaini Makwesa, baada ya Adhimisho la Sakramenti ya Kipaimara parokiani hapo hivi karibuni. (Picha na Yohana Kasosi)