Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Waamini kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Nadhiri za Kwanza za Masista wa Shirika la Mtakatifu Fransisko wa…
Watoto wa Shirika la Kipapa la Utoto Mtakatifu kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Watoto Mashahidi…
Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi (aliyeshika Fimbo ya Kichungaji), Askofu Msaidizi wa Jimbo hilo, Mhashamu Henry Mchamungu (kushoto), Askofu wa…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akibariki vipaji wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Mkesha wa Mwaka Mpya 2026, katika Parokia ya…
Vijana Wakatoliki Wafanyakazi (VIWAWA) Jimbo Kuu la Dar es Salaam wakishangilia jambo wakati wa Homilia katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Beach Mass iliyoadhimishwa ufukweni Jimbo Katoliki la Bagamoyo.
Mwenyekiti wa Parokia ya Mtakatifu Kamili Yombo Kiwalani Josephat Moshi, akiwa katika picha ya pamoja na Wanakwaya wa Kwaya ya Shirikisho ya parokia hiyo, baada ya Adhimisho la Misa Takatifu…
Masista wa Shirika la Mtakatifu Fransisko wa Asizi Dada Wadogo Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Nadhiri za Kwanza iliyofanyika katika Nyumba…
Dekano wa Dekania ya Kilimahewa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Paul Kamuhabwa akiwa katika picha ya pamoja na vijana waliopata Sakramenti Takatifu ya Kipaimara wa Parokia ya…
Waimarishwa wa Sakramenti Takatifu ya Kipaimara wa Parokia ya Mtakatifu Maria Magdalena – Kimara Mtoni, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti…
Page 1 of 22