Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Katika safu hii ya Chimba Chimba Historia ya Kanisa wiki iliyopita, tuliendelea kuwaletea historia ya Kanisa kuibuka kuwa Mlezi wa Elimu, Leo tunaendelea kuwaletea historia ya kuibuka kwa mashirika yalianzishwa…
Wanakwaya wa Kwaya ya UKWAKATA Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiimba wakati wa Adhimisho la Misa Takatifu ya Jumatatu ya Pasaka, Kijimbo iliyoadhimishwa katika Parokia ya Moyo Mtakatifu…
Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Rita wa Kashia - Goba, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakishiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika parokiani hapo.
Wanakwaya wa Kwaya ya Familia Takatifu Parokia ya Mtakatifu Maximillian Maria Korbe - Mwenge, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja na baada ya Adhimisho…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akiwa katika picha ya pamoja na Mapadri, Shemasi na Wanakwaya wa Kwaya ya Mtakatifu Rita wa Kashia,…
Askofu wa Jimbo Katoliki la Zanzibar, Mhashamu Augustino Shao akibariki sanduku lililobeba mwili wa marehemu Padri Daniel Macha aliyewahi kuwa Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Gaspar, wakati wa Adhimisho la…
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Sesilia-Kisarawe II, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam Padri Roger Kamuzinzi (katikati) akiamua kuanza kwa mchezo wa kuvuta kamba kati ya Wanawake Wakatoliki (WAWATA)…
Mapadri kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya kumwombea marehemu Padri Daniel Macha iliyofanyika katika Parokia ya Mtakatifu Domonico…
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu akikabidhi zawadi kwa wawakilishi wa wagonjwa wanaopatiwa huduma za afya katika Zahanati ya Consolata, baada ya Adhimisho…
Page 1 of 23