Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Maneno ya mwisho ya Papa Fransisko

Kufunga Nyumba alimoishi Papa Kufunga Nyumba alimoishi Papa

VATICAN CITY, Vatican

Miongoni mwa maneno ya mwisho ya Baba Mtakatifu Fransisko yalikuwa ni shukrani zake kwa msaidizi wake wa afya binafsi, Massimiliano Strappetti, kwa kumtia moyo kufanya safari yake ya mwisho katika kigari kidogo cha “Popemobile Dominika Aprili 20.
“Asante kwa kunirudisha kwenye Uwanja. Kupumzika alasiri, chakula cha jioni na utulivu, kisha alfajiri hisia za ugonjwa, kukosa fahamu na kifo, baada ya siku yake ya kusalimia, na kubariki Ulimwengu baada ya muda mrefu.
Miongoni mwa maneno ya mwisho ya Papa Fransisko ambayo aliyasema ni asante kwa wale ambao walimuhudumia katika wakati huu wa ugonjwa.
Lakini hata muda mrefu uliopita, walimwangalia bila kuchoka, kama vile Massimiliano Strappetti, muuguzi ambaye - kama alivyowahi kusema - aliokoa maisha yake kwa kupendekeza afanyiwe upasuaji wa tumbo, na ambaye Papa alimteua kuwa kama msaidizi wake wa afya tangu mwaka 2022.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.