Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Serikali yadumisha huduma kwa wazee

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Wakili Amon Mpanju, akisalimiana na Wazee wakati wa ziara yake katika makazi ya Wazee wasiojiweza, yaliyopo Sukamahela, wilayani Manyoni mkoani Singida. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Wakili Amon Mpanju, akisalimiana na Wazee wakati wa ziara yake katika makazi ya Wazee wasiojiweza, yaliyopo Sukamahela, wilayani Manyoni mkoani Singida.

Manyoni

Na Jackline Minja

Katika kuelekea kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, serikali imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee, kwa kuhakikisha kundi hilo linapata huduma za msingi, zinazowawezesha kuishi maisha yenye heshima, na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.
 Hayo yalisemwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Wakili Amon Mpanju, wakati wa ziara yake katika Makazi ya Wazee Wasiojiweza, yaliyopo Sukamahela, wilayani Manyoni mkoani Singida.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.