Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

MICHEL MBOLANDINGA: Lumumba wa mchongo’ aliyewika AFCON 2025

MICHEL MBOLANDINGA MICHEL MBOLANDINGA

DAR ES SALAAM

Arone Mpanduka

Michel Kuka Mboladinga, ambaye pia anajulikana kama Michel Kuka, Michel Nkuka, au kwa jina la utani “Lumumba” na “Lumumba Vea”, ni shabiki wa soka wa timu ya taifa ya DR Congo, anayejulikana kwa tabia yake ya kipekee, wakati wa mechi za timu ya taifa ya kandanda ya DR Congo. 
Amekuwa shabiki kindakindaki wa taifa la Congo tangu mwaka 2013, ambapo amekuwa akisimama jukwaani bila kutikisika katika michezo yote. Amekuwa akiiga mkao wa sanamu ya mwanasiasa wa zamani na mkombozi wa taifa hilo, Patrice Lumumba mjini Kinshasa.
Jamaa huyu amejizolea umaarufu zaidi kwa vyombo vya habari vya kimataifa, wakati wa Kombe la Mataifa ya Afrika la 2025, nchini Morocco. 

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.