Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema kuwa hali ya uwekezaji nchini imeongezeka katika kipindi cha Aprili hadi Juni mwaka huu.
Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Gilead Teri alisema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kueleza kwamba TIC ilisajili miradi 198 yenye thamani ya dola za Kimarekani bilioni 1.69 sawa na zaidi ya Shilingi trilioni tatu, itakayoajiri watu 9600 kote nchini.

Rate this item
(0 votes)

Leave a comment

Make sure you enter all the required information, indicated by an asterisk (*). HTML code is not allowed.